What We Offer
Conference Services
Real Estate
Hospital Services
Business Tourism
KUMBUKIZI YA BABA WA TAIFA, MWL.JULIUS KAMBARAGE NYERERE
MKUTANO WA AGRF 2023 WAMALIZIKA
https://youtu.be/318TN2nqYpE
NAIBU WAZIRI MKUU AFUNGA MKUTANO WA AGRF 2023
Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehutubia katika Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2023 (AGRF 2023). Dkt. Biteko amemuwakilisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe....
RAIS SAMIA NA VIONGOZI WA AFRIKA-AGRF 2023
Mkutano wa Marais na Wakuu wa Nchi uliyojumuisha Marais mbalimbali kutoka Afrika na viongozi kutoka Tanzania, Afrika na kwengine duniani pamoja na wadau wa mifumo ya chakula. Mkutano huo umefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC)...
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN NA VIJANA -AGRF 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipata nafasi ya kuzungumza na vijana kwenye mjadala wa masuala ya Kilimo na Vijana wakati wa mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) unaofanyika kwenye Kituo cha Kimataifa cha...
MAKAMU WA RAIS AZINDUA AGRF 2023
https://youtu.be/7Luytt9RtyY
Upcoming Events at AICC & JNICC
april
may
Meetings Served at AICC & JNICC
Meetings served 2021/2022
Delegates served 2021/2022
%
Local Meetings
%
Delegates served at AICC
%
International Meetings
%