Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC)
https://www.youtube.com/watch?v=77qnqnv26SY
TATU KUBWA YA WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
TATU KUBWA YA WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZOTatu kubwa za 2023 ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ilifanyika JNICC ambapo Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa alipokea taarifa ya vazi la Taifa, taarifa kuhusu Mdundo wa Taifa na...
AICC YACHANGIA MIFUKO 50 YA CEMENT KITUO CHA AFYA MKONOO – ARUSHA
Mkuu wa kitengo cha mahusiano ya umma cha AICC Bw. Freddy Maro akikabidhi mifuko 50 ya cementi kwa katibu wa Mkoa wa Arusha wa Taasisi ya Kiislamu ya Twariqatul Sheikh Haruna Hussein. Msaada huo utapelekwa kusaidia ujenzi wa kituo cha afya cha Mkonoo jijini...
Kikao cha 94 cha Kamati ya Watalaam wa Mamlaka za Mapato za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EARATC)
Kikao cha 94 cha Kamati ya Watalaam wa Mamlaka za Mapato za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EARATC) kinachofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) kuanzia tarehe 23-01-2023 hadi tarehe 27-01-2023.
Kongamano la 13 la Mwaka la Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi Tanzania.
MKUTANO WA 10 WA TRAMPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua rasmi Mkutano wa 10 wa chama cha watunza kumbukumbu TRAMPA leo tarehe 27/11/2022 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC).