Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC) tunakupongeza Mhe. Bal. Steven P. Mbundi kwa kuchaguliwa na Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Africa Mashariki kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Tunakuahidi ushirikiano katika kutekeleza majukumu yako.